Monday 13 April 2015

ALLAN MUGISHA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA, WALKGARD HOTEL ILIKUWA NI SHIDAAAA.

 Kushoto ni Kijana mpole  kwa muonekano wa nje , lakini mtu makini akidhamilia kitu Bw Allan Mugisha akifurahi namna mwanadada huyo pichani alivyokuwa akiikata keki,Ilikuwa ni bonge la party iliyofanyika katika moja ya hotel kubwa Katika Mkoa wa Kagera Walkgard hotel iliyoko katika kilima cha Kashura barabara iendayo Maruku,Kikubwa ni mpangilio na shughuli ilivyopangiliwa ni kimaanisha, mkao, vinywaji na chakula, nikirudi upande wa wa eneo ilipofanyika shughuli kwa pembeni kuna bonge la swimming pool na kiupepo kizuri kutoka ziwa victoria, Kwa upande wa waalikwa namna walivyotokelezea, walipendeza sana, Hongera sana Allan Mugisha kwa kutimiza miaka kadhaa.
 Muonekano wa eneo la wageni waalikwa.
 Ni Kijana Mwanawasu mtaalamu wa kuchoma nyama akiendelea na maandalizi.
 Kwa upande wa vinywaji unaona mwenyewe, kwa wale waliokuwa na speed walilala mapema sana , hata tukio la kukata keki hawakuliona, maana kijana alijipanga, milioni kadhaa zilitumika kwenye maandalizi.
 Waalikwa.
 Rehema Ridhiwan.
 Jeni MTK akiwa na rafiki yake.
 Mc Jerry akiendesha ratiba.
 Mchanganyiko wa waalikwa ulikuwa poa sana.
 Mitandao ni shidaaa, kila mtu busy.
 Sima Isaya na msanii kamdingi furani walikuwepo kuwapa waalikwa burudani.
 Huyu alimua atoke kihivi.
 Staili ya Mtoto alie zaliwa  namna alivyoingia ukumbini, ilikuwa ghafla bila taarifa ndani ya nyumba, ilikuwa ya aina yake.
 Ni kijana Paul Manyama akionyesha uwezo wake wa kusakata rumba.
 Akaingia kati binti mwenye mvuto  Rehema Ridhiwani nae akaweka mambo.
 Mtoto aliezaliwa muda wote ni furaha.
 Bw na Bi Adamu Kagasheki.
 Ilikuwa shidaaaa.
 Admin wa Group la mia mia Oscar(kushoto) mratibu wa shughuli nzima.
 Neema na mdogo wake katika pozz.
 Dj Slay ndio alikuwa akipangilia program ya muziki.
Hongera sana Allan Mugisha.

No comments:

Post a Comment