Monday 6 October 2014

WAISLAMU WASWALI SWALA YA IDD LHAJI MSIKITI WA BILELE BUKOBA,WAISLAMU WATAKIWA KUMCHA MWENYEZIMUNGU

 Kulia ni Mgeni rasmi Balozi Kagasheki mbunge dawa jimbo la Bukoba mjini Baada ya kutoa salamu za Idd,amewataka waislamu wapendane na kumcha mwenyezi mungu,Pia amechangia shilingi milioni kumi kwa ajili ya ujenzi wa kitegauchumi cha msikiti  Bilele unaoendea,pia Mnec wa ccm Bukoba Vijijini Nazir Karamagi alimuunga mkono Balozi Kagasheki kwa kuchangia Milioni kumi na tano.
 Msikiti wa Bilele
 Waumini
 Mwenyekiti wa Bakwata Bukoba manispaa Alhaji Kagire akitoa mkono wa Idd
 Shekhe Kakweke akitoa taarifa ya msikiti wa Bilele
 Waumini wengine waliswalia nje
 Shekhe Kichwabuta amewataka waislamu wasitumie teknologia ya mitandao kwa kutukana watu na matusi
 Mkuu wa wilaya Missenye Kanal mstaafu Njiku  nae alichangia shilingi laki tano kusaidia ujenzi wa kitega uchumi cha msikiti
 Jengo litakalokuwa la ghorofa ujenzi ukiendelea
 Mgeni rasmi akitoa salamu za Idd Balozi Kagasheki
 Kanal Njiku akitoa salamu za Idd
 Nyumbani kwa familia ya Jamal Kalumuna

jamcobukoba.blogspot.com inawatakia Idd Lhaji njema waislamu wote duniani.

No comments:

Post a Comment