Wednesday 8 October 2014

TANGAZO,HAFRA YA AINA YAKE YA KUMSIMIKA KAMANDA MTEULE WA VIJANA KATA YA BILELE 11-10-2014 LINA'S


 Uongozi wa kata ya Bilele unawatangazia wanachama wote na wapenzi wa chama cha mapinduzi kata ya Bilele kujitokeza kwa wingi kwenye hafla ya kumsimika kamanda mteule wa kata ya Bilele Ndugu Ashiraf Kalumuna.Shughuri itaanza kuanzia saa 3.00 asubuhi kwa maandamano kuanzia ofisa ya kata Bilele kupitia maeneo mbalimbali ya kuelekea katika ukumbi wa Lina's,Katika ukumbi wa Lina's Mgeni rasmi atakuwa ni mh mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi wa Bukoba Mjini Mh Abdul Kagasheki ambae atamsimika Kamanda. Pia kutakuwa na Burudani mbalimbali na badae wageni waalikwa wote watapata chakula cha pamoja na kuburudika.KARIBUNI SANA.
Kushoto ni Mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm Taifa wa Bukoba Mjini Mh Abdul Kagasheki ndio atakuwa mgeni rasmi na kumsimika Kamanda Mteule wa kata ya Bilele Ashiraf Kalumuna. KARIBUNI SANA.

No comments:

Post a Comment