Friday 10 October 2014

NMB YATOA MSAADA WA MADAWATI KATIKA SHULE YA MSINGI KEMONDO BUKOBA VIJIJINI

 Upungufu wa madawati katika shule za msingi na sekondari ni changamoto kubwa kwa shule nyingi hapa nchini,katika kukabiriana na tatizo hilo benki ya NMB imeliona hilo na kuweza kusaidia kwa kiasi fulani katika sekta ya elimu.kushoto ni Bw Samwel Mushote kutoka NMB kanda ya ziwa Mwanza akimkabidhi Katibu tawala wa wilaya ya Bukoba Bw Clement Ndyamukama madawati 55 yenye thamani ya shilingi milioni tano kwa ajiri ya shule ya msingi Kemondo.
 Madawati 55 yaliyotolewa na NMB
 Wanafunzi wa shule ya msingi Kemondo
 Wanafunzi wakicheza muziki
 Mgeni rasmi akiwasili
 Wananchi wa kata ya Kemondo
 Mh Diwani wa Kata ya Kemondo akifungua hafla ya kukabidhi madawati
 Meneja wa NMB tawi la Bukoba Bw Mushobozi akielezea shughuri za NMB
 Wanafunzi wakiigiza
 Mgeni rasmi akitoa hotuba

No comments:

Post a Comment