Monday 31 March 2014

BUKOBA VETERAN WAZINDUA KATIBA NA KUKABIDHIWA JEZI KUTOKA UJERUMANI,HAFLA YADHAMINIWA NA KINYWAJI CHA CLIMAX

 Bukoba Veteran baada ya kukamilisha mchakato ulioanza siku nyingi zilizopita za kuandaa Katiba  hatimae wamezindua Katiba itakayowaongoza,lakini pia wamekabidhiwa Jezi kutoka Ujerumani, mgeni rasmi alikuwa  Sakina Sinda Wakili wa Serikali Mfawidhi wa Mkoa wa Kagera.
 Kapten akipokea jezi
 Wazee wa busara
 Chezea Climax weweeeeeee
 Hafla imedhaminiwa na kinywaji cha Climax
 MCJerry akichombeza
 Mgeni rasmi akiwasili ukumbi wa Lina's
 Katibu wa Bukoba Veteran Raksoni Kahabuka akiongerea mchakato wa Katiba ya Bukoba Veteran
 Climax ni kinywaji  bora viwango vya kimataifa
 Wakipata kinywaji cha Climax
 Mdau Didas Zimbile akiwa na Mainda E
 Optat Katibu
 Wanaveteran
 Bw Wily Kiroyera akieleza jinsi alivyofaamiana na  Fr Gerald Rugumila kupitia mtandao wa Facebook mpaka kuifaamu Bukoba Veteran na  sasa kuwa marafiki na timu kubwa  ya Mainz 05 inayocheza  BUNDESLIGA NA INAYOMILIKI  UWANJA  unaochukua watazamaji 34,036 huko  Ujeruman
 Fr Gerald Rugumila akieleza namna alivyoweza kuijua Bukoba Veteran kupitia kwa Bw Wily Kiroyera
 Mwenyekiti wa Bukoba Veteran Ernest Nyambo akiongea na wadau kuhusiana na siku muhimu na ya kihistoria katika umoja wa Bukoba Veteran
 Fr Mloso wa Ntungamo Seminary akitoa neno
 Bw Kagya Mratibu wa tamasha kubwa litakalofanyika siku ya pasaka Lina;s . Kapotive singles watawasha moto wakiwa na wasanii wa injili wakubwa Tanzania
 Katibu wa KRFA Salumu Chama akiongea na wana Bukoba Veterani
 Chezea Bukoba Veteran weweeee
 UZI wa Mainz 05
 Fr Gerald Rugumila mkazi wa manispaa ya Bukoba Nshamya anaehishi Ujerumani akikabidhi jezi  kwa kapten wa timu Mwinyi ,  Fr Gerald ni shabiki nguli wa Mainz 05 ya Ujerumani inayoshiriki ligi kuu ya BUNDESLIGA, Fr Gerald amekuwa na urafiki wa karibu na Bw Wily Kiroyera kupitia mtandao wa Facebook akiwa Ujeruman na sasa kuwa kiunganishi na Bukoba Veteran
 Baadhi ya wanakamati wa liofanikisha katiba kuwepo
 Mh Matete akifafanua vipengele vya katiba
 Hii ndio Katiba
 Fr Gerald Rugumila akivaa Tshirt aliyopewa kama  zawadi
 Mwenyekiti akieleza kwa ufupi jinsi T.shirt ya Bukoba Veteran itakavyowawakilisha ujerumani
 Mwenyekiti akiwa na Moses wakionyesha uwezo wa kusakata bolingo
 NI NGWASUMA KWA KWENDA MBELEEEE
 Afisa Utamaduni Manispaa ya Bukoba Rugeiyamu akimkaribisha mgeni rasmi
 Mgeni rasmi Sakina Sinda  Wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoa wa Kagera akitoa neno katika uzinduzi wa katiba ya Bukoba Veterani katika ukumbi wa Lina's
 Mkurugenzi wa Lina's Mtensa akitabasamu na camera yetu
 Kijana mwiba akionyesha nembo ya Mainz 05 ya ujeruman akiwa na Capten Mwinyi wa Bukoba Veteran
 Rahimu akiwa na Kagya
 Mwenyekiti wa Bukoba Veteran Ernest Nyambo akiongea na wadau akisisitiza kutambua na kuthamini mchango mkubwa wa  kinywaji cha Climax kufanikisha hafla
 Bw Bube mkurugenzi wa shule ya watoto wadogo Leoleo akisoma katiba ya Bukoba Veteran kwa umakini mkubwa akiwa na Super Mkude  mkurugenzi wa shule ya Karume
 Bw Endrew Kagya akielezea ubora wa kinywaji cha Climax kwa niaba ya  wakala  wauzaji wa  Climax mkoa wa Kagera ambao ndio wamedhamini hafla hii
 Kwa raha zetuuuuu
 Hii ndio katiba ya Bukoba Veteran
Kushoto Fr Gerald Rugumila, Fr Mlosa na  mgeni rasmi Mh Sakina Sinda
 Mgeni  Rasmi akipata chakula
 FR Gerald Rugumila akipata chakula, kiunganishi kikuu kati ya Bukoba Veterani na  timu ya Mainz 05 ya Ujerumani kupitia kwa Wily Kiroyera
 Katibu wa KRFA Salumu Umande Chama akipata chakula
 Wily Kiroyera akipata msosi
 Kamati ya T.shirts za Bukoba Veteran  umekuja mzigo mpya Popote ulipo duniani au Tanzania, Kagera  au Bukoba changia timu kwa kununua T.shirt kwa 20,000 tu .
 Kijana Rakson Kahabuka ndani ya uzi  wa Mainz 05 ya Ujeruman
Ongera Bukoba Veretan chini ya uongozi wa mwenyekiti Ernes Nyambo kwa hatua kubwa mliyopiga jamcobukoba.blogspot.com tunawatakia ufanisi zaidi.

No comments:

Post a Comment