Wednesday 26 February 2014

Bi ASIMWE NGEMERA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

 Bi Asimwe Ngemera akiwa na wanae wakisherekea siku yake ya kuzaliwa katika ukumbi wa Lina's
 Bi Asimwe (kulia) na swaiba wake Bi Anet wakiingia ukumbini
 Mwonekano wa eneo walilokaa
 Wajomba wa Asime Bw Mjuni Kataraiya na Bw Jafet Kataraiya
 Keki ikakatwa
 Karibu swaiba
 Naomba niwalishe watu wangu wa muhimu sana siku ya leo
 Shampein ikafunguliwa
 Ongera Asimwe kwa kufikisha miaka kadhaa
 Zawadi zikatolewa
 Msosi time
 Ukafunguliwa muziki
 Mjomba na mtoto uwanjani
 Kijana Kahabuka na chupa yake
 Wakati wa Muziki
 Kata kiuno mtoto wa kike kwa raha zako
 Mtu na mdogo  wake
Mc Baraka akimpongeza Bi Asimwe

No comments:

Post a Comment