Sunday 22 September 2013

MTANGAZAJI WA 100 KISS FM AUWAWA KATIKA TUKIO BAYA LILITOKEA KENYA


Mtangazaji wa habari katika kituo cha redio cha Kiss FM kwa jina la ''Ruhila Aditya'' ni miongoni mwa waliopoteza maisha yao katika shambulizi hilo.

No comments:

Post a Comment