Sunday 17 December 2017

WAZIRI MWIJAGE AZINDUA BODI MPYA YA KAMPUNI YA MBOLEA YA TAIFA (TFC), AITAKA KUTOINGIA MIKATABA YA HASARA


Waziri wa Viwanda na Uwekezaji, Charles Mwijage, akizungumza na wajumbe wa bodi mpya ya Kampuni ya Mbolea ya Taifa (TFC), (hawapo pichani), wakati akiizindua bodi hiyo jijini Dar es Salaam jana.

Wajumbe wa bodi hiyo wakiwa katika hafla ya uzinduzi

Mwenyekiti wa bodi hiyo, Profesa, Egid Mbofu, akizungumza katika uzinduzi huo. Kulia ni Meneja Mkuu wa TFC, Salum Mkumba

Wajumbe wa bodi hiyo wakiwa bize kuchukua maagizo ya Waziri Mwijage

No comments:

Post a Comment