Sunday 17 December 2017

WAZALENDO 47 KUTOKA JWTZ NA KUNDI LA WANAHABARI WALIVYOTUMIA SIKU 5 KUPANDA KILELE CHA UHURU KWA AJILI YA SHEREHE ZA MIAKA 56 YA UHURU

Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) Betrita Loibok akizungumza katika hafla fupi ya kuagwa kwa wazelendo 47 waliopanda Mlima Kilimanjaro.
Baadhi ya Washiriki katika changamoto ya kupanda Kilimanjaro kwa ajili ya kutangaza Utalii wa Ndani na utunzaji wa Mazingira.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi akizungumza katika hafla ya kuwaaga washiriki wa changamoto ya upandaji wa Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kutangaza Utalii wa ndani na Utunzaji wa Mazingira.
Mwenyekiti Mstaafu wa Bodi ya Utalii Tanzania, Balozi Charles Sanga (kulia) alikuwa ni miongoni mwa Wazalendo walioshiriki changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro.

No comments:

Post a Comment