Sunday 24 April 2016

FAMILIA YA BW LACTO RWEZAURA WAWEKA IBADA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA MEMA ANAYOWAJALIA.

 Ni Bw Lacto akiwa na mkewe  mama Kemi mwenye miwani wakati wa misa ya shukrani iliyofanyika nyumbani kwao Muleba Karutanga Magata ikiwa ni shukrani kwa mungu kumnusuru Bw Lacto Rwezaura kwenye ajali mbaya ya gari aliyoipata mwaka jana,pia kubariki nyumba yao mpya.
 Bi Anitha akiteta neno na baba yake mzazi Bw Lacto.
Waalikwa wakiwa kwenye ibada ya misa ya shukrani.
 Bw Jamal Kalumuna akiongoza ratiba ya shughuli nzima.
 Marafiki kutoka Mwanza.
 Baba paroko akieleza mafundisho kuhusiana na madhumuni ya tukio husika.
 Nyumba ikibarikiwa.
 Bw Lacto akitoa neno la shukrani.
 Bw Jamal  (Jamco) akiwa na Anitha.
 Wadada kutoka Mwanza wakitoa zawadi.
Jamcobukoba.blogspot.com inawatakia maisha ya furaha na kumtumaini mungu.

No comments:

Post a Comment