Monday 25 April 2016

DAVID ISAYA NA EDINA KOKUMANYIKA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA,BONGE LA SHEREHE LAFANYIKA.

 Ilikuwa ni vifijo , nderemo, hoihoi na shangwe kwa familia, ndugu , jamaa na marafiki pale ziliposikika sauti za wanandoa, pale padre alipowauliza kwa sauti unakubali kumuoa/ kuolewa.. na kila mmoja akajibu nakubali na nitamuheshimu, nitakuwa nae katika raha na shida, na baada ya hapo wakawa mwili mmoja Bw na Bibi David Isaya,baada ya hapo msafara ukazunguka maeneo ya mji wa Bukoba kuelekea kwenye eneo la kupiga picha linalomilikiwa na Mama Ardventina Matungwa lililopo kata ya Kitendaguro nyumbani kwake, na baadae  shangwe zikaamia katika ukumbi wa coffee Tree Inn Bukoba Manispaa.
 Wakitamka agano la ndoa.
 Wakipata mkate wa bwana.
 Sasa ni mwili mmoja.
 Hongera best.
 Wakakabidhiwa hati za ndoa.
 Mwenyekiti wa usafiri Bw Optat akiandaa msafara wa maharusi.
 Garden ya Mama Matugwa, kazi ya kufotoa ikaanza.
 Mahaba niue.
 Aisee nilichagua duh..
 Naombaaaaa...
 USIANGAIKE LAAZIZI WANGU NAKUVISHA KIATU.
 Shangwe zikaamia ukumbini.
Tutaendelea kuwaletea kilichojili ukumbini coffee Tree Inn.

No comments:

Post a Comment