Sunday 24 May 2015

ZOEZI LA UANDIKISHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MANISPAA YA BUKOBA LAENDELEA.

 Katibu tawala wa wilaya (DAS) Bukoba akiwa katika kituo cha Airport Bukoba kata ya Miembeni mtaa wa Pwani akijiandikisha.
 Waandikishaji wakiwa kazini.
Viongozi wakisubiri kujiandikisha.
 Mmoja ya Mzee akijiandikisha,
 Ni Mratibu  wa Uandikishaji Mkoa wa Kagera Bw Seif Hussen akifanya mahojiano na vyombo vya habari kuhusiana na zoezi la uwandikishaji.
 Mkurugenzi wa Manispaa ya Bukoba akiongea na vyombo vya habari kuwaomba wananchi wajitokeze kwa wingi.
 Wananchi wakiwa kwenye foleni.
Jamcobukoba.blogspot.com inawasisitiza wanachi wajitokeze kwa wingi kujiandikisha, muda ni mchache, jitokezeni.

No comments:

Post a Comment