Wednesday 27 May 2015

MWILI WA MAREHEMU SAMWELI RUANGISA KUWASILI 1-6-2015 JUMATATU KUTOKA NEW YORK NA KUZIKWA 3-6-2015 JUMATANO.

 Mwili wa marehemu Samweli Ruangisa utawasili Uwanja wa ndege  wa Entebe 1-6-2015 Jumatatu majira ya saa saba mchana ukitokea New york Marekani na kupokelewa na Gari maalumu(Ambulence) na kusafirishwa kwa njia ya barabara mpaka Bukoba.Kwa mujibu wa habari hizi kutoka  kwa mwanafamilia Majid Kichwabuta mazishi yatafanyika 3-6-2015 Jumatano nyumbani kwa marehemu Kitendaguro,Marehemu aliaga dunia huko New york Marekani tarehe 25-5-2015 majira ya saa tano asubuhi kwa saa za huko.(katika picha ni Balozi Kagasheki akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Kitendaguro.) Ratiba ya mpangilio mzima wa mazishi itatoka.
 Mdogo wa marehemu.
 Mdogo wa marehemu.
 Ma Yustina dada wa marehemu.
 wa pili kulia Jackline Kichwabuta mtoto wa marehemu, mzee Rujwangana, na Yunis Ruangisa.
 Murungi Kichwabuta mtoto wa marehemu akiwa na Bw Deus Mutakyawa

 PICHA YA FAMILIA WAKATI WA UHAI WA MAREHEMU.
Ratiba   ya mazishi itatoka badae.

1 comment: