Saturday 17 January 2015

MABASI YA PRINCES MURO YAANZA SAFARI ZA BUKOBA- DAR NA DAR- BUKOBA LEO 17-1-2015.

 Ni mabasi ya Princes Muro ambayo yameanza rasmi safari zake za Bukoba - Dar na Dar- Bukoba kuanzia 17-1-2015. Ni mabasi  mapya ya kisasa yenye vitu vingi vya kumfanya abiria afurahie  safari bila kuchoka,Viti vya vizuri  na nafasi kubwa unapokuwa umekaa,Full kiyoyozi, huku ukiangalia tv kama kwenye ndege, ukitaka kiti kilale au kurekebisha kadri unavyojisikia, wakati wa safari unapata kinywa na kitafunwa ili ufurahie safari, hakuna kurundika mizigo au kuzidisha watu kwenye siti, hakika Princes Muro ni kiboko.ofisi zao zipo stand kuu ya Mbasi Bukoba au piga simu 0655-301155. Karibuni.

 Kama kwenye ndege vileeeee..
 Kwa ndani.
 Full kiyoyozi na muziki wa taratibu.
 Bw Jalia Mgwao wakala wa mabasi haya kwa Bukoba.
 Mambo ya Digital.
 Kwa maelezo zaidi wasiliana na Jalia Mgwao kwa simu namba  0655-301155.
 Mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya Kiroyera Tours Mary Kalikawe akiangalia mandhari ya mabasi kwa ndani.
 Aliongelea furaha yake Mkurugenzi wa Kiroyera Tours Mary Kalikawe , alisema usafiri ni kitu muhimu sana katika kukuza utalii nchini na duniani, hivyo Bukoba inapopata vitu vizuri na vya kisasa inasaidia kukuza utalii na kipato cha Mkoa wa Kagera.
 Kitu Tv wakati wote wa safari.
 Kitu New.
 Blogger Jamco akiwa na Jalia.
Ni mabasi mapya,ndio kwanza yanafunguliwa karatasi zake yakianzia rasmi safari zake Bukoba Dar leo 17-1-2015, karibuni sana, kwa maelezo zaidi piga simu ya mkononi namba 0655- 301155.

No comments:

Post a Comment