Saturday 17 January 2015

ALIEKUWA MENEJA WA NMB BUKOBA ARBOGAST .J. MUSHOBOZI ASTAAFU UTUMISHI WA UMMA,AAGWA BUKOBA.

 Mchungaji akiwa ametokelezea.
 Ni dada mwenye mvuto na mnato anapatikana NMB Bukoba akikaribisha wageni mlangoni.
 Upande wa vinywaji walijipanga.
 Kushoto, ni dada shida katika pozz.
 Mzee na mama wakiwa wametokelezea.
 Baba na mama, Hapana chezea.
 Wadau wa NMB.
 Wadau
 Mama Muhazi na mwanae katika pozz.
 Pendeza sana my boss.
 Jamco na Bw Matovero.
 Wakiingia ukumbini.
 Mwenyekiti akifungua sherehe.
 Meneja mgeni Bw Victorine kimario akisalimia wageni.
Tutaendelea kuwaletea matukio mengine.

No comments:

Post a Comment