Tuesday 6 January 2015

HONGERA DANIEL NDYEKOBORA NA DIANA SIMA RUGUMILA KWA KUFUNGA NDOA.

 Ni Mr & Mrs  Daniel Ndyekobora wanaonekana na nyuso za furaha,muda mfupi baada ya kufunga ndoa katika kanisa la kilutheri usharika wa Ibura Bukoba Mjini na badae sherehe ya kuwapongeza ilifanyika Kanyigo Bukoba.
 Wakiingia kanisani kula kiapo.
 Mchungaji akiendelea na Ibada.
 Mme wangu nahaidi mbele ya umma huu uliombele yetu na kila kona ya mahala hapa patakatifu kukupenda, kukuheshimu, kukulinda katika raha na gharika la aina yoyote kwa kipindi chote tutakachoishi hapa duniani.
 Mkataba tayari.
 Siku hizi mapaparazi kibao.
 Kushoto mdau mkubwa wa jamcoblog Bi Erica katika picha ya pamoja na  maharusi.
 Patron na Matron wakakumbushana enzi hizooooo.
 Full shangwe.
 Wakiingia ukumbini kijijini Kanyigo.
 Mchungaji akafungua sherehe kwa sala.
 Wapambe pendeza sana.
 Ikakatwa keki.
 Stail ya kurishana,ni shidaaaa.
Hongera maharusi.
Mungu awabariki katika maisha ya ndoa.

No comments:

Post a Comment