Thursday 18 December 2014

NI MWEZI MMOJA LEO TANGU UTUTOKE STIVIN LEONARD MUTENSA,ILIKUWA NI SIMANZI KILA KONA YA MANISPAA YA BUKOBA

 Wanasema  wa kale siku  hazigandi,Leo ni mwezi mmoja tangu mpendwa wetu  afariki  dunia. Siku ya leo  ilikuwa ni mshangao wa kwa wengi wetu kufuatia kifo cha ghafla sana cha mpendwa wetu.Pumzika kwa amani mwan ga wa milele  ee bwana.Karibu utazame matukio katika picha.
 Ni picha iliyopingwa na mpiga picha wa Jamco studio wiki mbili kabla ya kifo cha marehemu akiwa na swaiba wake Mwl Bube wakiwa kwenye bonanza la Bukoba veteran uwanja wa kaitaba.








Tunaendelea na sehemu ya pili.

No comments:

Post a Comment