Monday 17 November 2014

NI MIAKA SABA SASA TANGU UTUTOKE MAMA YETU MPENZI OMUGENZI MA AULELIA KOBULUNGO MUGANDA,MISA YA SHUKRANI YAFANYIKA KASTAMU BUKOBA MJINI.

 Ni Picha ya marehemu Ma Aulelia Kobulungo Muganda wakati wa uhai wake, imefanyika misa ya shukrani kwa ajiri ya kumshukuru mungu na kumuombea marehemu, Ibada ya misa imefanyika nyumbani kwa marehemu Kastam Bukoba Mjini na kuudhuriwa na ndugu,jamaa na marafiki,Wakati huo pia Ibada ya misa ya shukrani imefanyika jijini Dar nyumbani kwa mtoto wa marehemu James Rugemarila maeneo ya Makongo Dar.
 Mzee Robert Bahati na wazee wengine wakati wa ibada ya misa ya shukrani.
 Mama Victor (kushoto) akiwa katika Ibada.
 Kwaya ya Mt Telesia ikitumbuiza wakati wa Ibada.
 Bw Rahim Kabyemela akiwa na Bi Tunu kuhakikisha shughuri zote zinafanikiwa.
 Chakula Time.
 Mama Achi ndio alisababisha watu wakashibaaaa.
 Padri akitoa neno la bwana kwa kondoo wake.
 Mwanga wa milele umwangazie ehe bwana Ma Aulelia Kobulungo Muganda.
 Mzee kijana huyo....
 Mzee Robert Bahati akitoa neno la shukrani  kwa niaba ya familia na kwa niaba ya mzee James Rugemarila .
 Wakati wa ngoma.
 Windhock ndio ilikuwa mpango mzima..
 Kila mmoja ni kinywaji cha Windhock , hapana chezea kampuni ya Mabibo Wine chini ya mkurugenzi wake Mama James Rugemalira.
 Windhock ikawafanya wachangamke zaidi.
 Bojo Windhock nenura ushaga ensenene,chonka Ta James Rugemalirila yakolaaa.
 Tunu akifurahi na camera yetu.
 Wanafamilia picha ya ukumbusho.
 Picha ya pamoja Wanafamilia.

Pumzika kwa amani  Ma Aulelia Kobulungo Muganda.

No comments:

Post a Comment