Tuesday 18 November 2014

HAFRA FUPI YA UFUNGUZI WA MWEYANJARE BAR & SNACK NYAKATO MWISHO WA RAMI BUKOBA.

 Katika hali ya kusogeza huduma bora kwa watumiaji na walaji,Mkurugenzi wa Mweyanjare Bar & Snack Bw Rwehumbiza na Bi Happiness Rwehumbiza wamewekeza katika  eneo la Nyakato mwisho wa Rami na kufungua Bar & Snack kwa ajiri ya kusogeza karibu huduma bora ambazo wananchi wengi wamekuwa wakiamini huduma bora zinapatikana maeneo ya mijini tu,kitu ambacho Bw  Rwehumbiza ameamua kuonyesha kuwa hiyo dhana si sahihi popote huduma bora zinaweza kupatikana inategemea ni kwa namna gani mtoa huduma amejipanga.Mweyanjare Bar & Snack imefunguliwa maeneo ya Nyakato mwisho wa rami barabara inayokwenda Kashozi Bugabo,Unapokuwa umefika Kata ya Buhembe unaendelea na barabara inayokwenda Nyakato sekondari mwisho wa rami . Ukizingatia Manispaa ya Bukoba inazidi kupanuka , na matawi ya vyuo vikuu kuongezeka,
 Utajipatia chips na nyama choma.
 Karibu sana.
 Eneo la Counter.
 Eneo la ndani.
 Vinywaji vya aina zote vinapatikana.
 Mkurugenzi Bw  Rwehumbiza.
 Sehemu ya store.
 Mama na Baba ni kusaidiana.Mr & Mrs Rwehumbiza wakiwajibika Mweyanjare Bar & Snack karibuni kwa raha mustarehee.
 Wapo wataalam wa kuchoma nyama , kuku, mbuzi, nk.
 Vitu mchanganyiko vinapatikana.
 Mrs Happiness Rwehumbiza ambae ndio meneja mkuu akiwajibika kwa vitendo.
 Eneo hilo limepakana na chuo cha JOKUKO na ni eneo zuri tulivu , salama na huduma za uhakika.
 Watu kwa raha zao.
 Cheers.
 Hakika HAPA HATOKI MTU.
 Mchoma nyama Bw Benjamin akiwajibika.
 Mwendo wa mbilimbili.
 Serengeti kila kona wapo.
Hakika watembelee uone huduma zao. KARIBUNI WOTE.

No comments:

Post a Comment