Sunday 16 November 2014

MAREHEMU KHERI JUMA SUED KAGASHEKI AZIKWA MAKABURI YA KISHENGE MANISPAA YA BUKOBA LEO.

  Ni Mwili wa marehemu Kheri Sued Juma Kagasheki ukitolewa  katika msikiti wa Ijumaa Manispaa ya Bukoba ukipelekwa katika makaburi ya Kishenge kwa ajiri ya mazishi. Marehemu alifariki jana katika hospitali ya Mkoa  wa Kagera Majira ya jioni.
 Mstahiki Meya Manispaa ya Bukoba Mh Ngalinda akiwa msibani.
 Bw Medard akisalimiana na Mh Khamis Kagasheki.
 Bw Jumanne Bingwa akiwa na Alhaj Adam nyumbani kwa Mzee Sued Kagasheki Rwamishenye kwenye msiba.
 Jeneza la mwili wa maerehemu likiwa mbele ,marehemu akiswaliwa.
 Waumini wa dini ya kiislamu wakimswalia marehemu  katika msikiti wa Ijumaa Bukoba kabla ya kwenda kuzika katika makaburi ya kishenge.
 Marehemu akiswaliwa.
 Umati mkubwa ukiwa kwenye makaburi ya kishenge.
 Mazishi yakiendelea.
 Shekhe wa Mkoa Kagera Alhaj Haruna Kichwabuta akitoa mawaidha baada ya mazishi.
 Alhaj Abuba Kagasheki akitoa shukrani kwa niaba ya familia.
 Bw Abdul Kagasheki akitoa shukrani baada ya mazishi na kutoa utaratibu unaofuata.
 Bw Yakub akisalimiana mh Kagasheki.
 Mh Kagasheki akiwa na Mhandisi Chakindo.
 Mh Kagasheki akisalimiana na mkurugenzi wa  shule ya Kemibos Bw Kareju.
 Bw Rahimu  Kabyemera akiwa maeneo ya makaburi ya kishenge baada ya mazishi.
 Bw Amidu akiwa na Mh Diwani  Ibrahimu Mabruki baada ya mazishi.
 Alhaj Adam Kagasheki akiwa na rafiki yake baada ya mazishi.
 Balozi Khamis Kagasheki akitroti maeneo ya kishenge baada ya mazishi.
 Balozi Khamis Kagasheki akisalimiana na Mama Rubi na Bi Hawa Hasani baada ya mazishi .
 Dk Omary akiteta na ndugu yake.
Jamcobukoba.blogspot.com inatoa pole kwa ndugu,jamaa na marafiki wote.

No comments:

Post a Comment