Tuesday 23 September 2014

BALOZI KHAMIS KAGASHEKI AMTEMBELEA HOSPITALI YA BUGANDO MH DAUDA ALMASUDI KALUMUNA KUMJULIA HALI.

 Mbunge wa jimbo la Bukoba Mjini Balozi Khamis Kagasheki amemtembelea Mh Dauda Almasud Kalumuna alielazwa kwa ajiri ya matibabu katika hospital ya rufaa ya Bugando.Watu mbalimbali ,ndugu, jamaa na marafiki kutoka pande mbalimbali nchini wamekuwa wakimiminika kwa wingi kwende kumjuli hali mmoja wa wanasiasa na kiongozi wa muda mrefu katika Manispaa ya Bukoba Mh Kalumuna.Kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.
 Akiwa na mwanae Ashiraf kalumuna na Mdogo wake Sadick
 KULIA Partrick Pombe,Rehema Kalumuna, Erasmus George misifa, na Jose walifika kumsalimu na kumjulia hali
 Mama Mwainunu nae alifika kumjulia hali
 Kushoto ni Yusuf Elias,Jose na Jamal Kalumuna wakiwa na mgonjwa
 Balozi Kagasheki akitaniana na classmante wake akiwa kitandani,
 Katikati ni Anitha maarufu Zimbiile nae alifika kumjulia hali mgonjwa.
 Hospital ya Rufaa ya Bugando.
Tunakuombe kwa mwenyezi mungu akupe afya upone na kurudi katika hali ya kawaida.

1 comment:

  1. tunakuombea kwa mwenyezimungu akupe shifaa na akurejeshee afya yako kama zamani inshaallah amiin

    ReplyDelete