Sunday 15 June 2014

MAGOLIKIPA WA SOKA WAUNDA UMOJA WAO NA TIMU YAO

Timu ya magolikipa ambayo tumeunda umoja wetu ili kufanya mazoezi kwa pamoja na kucheza mechi,pia kuondoa tofauti kati yetu,hatubagui,makipa wote wanaocheza Ligi zote hapa Tanzania,pia kuwasaidia vijana ambao wanachipukia na hatimaye wapate timu za kucheza,tunakaribisha mialiko ya mechi za kirafiki ndani na nje ya hapa dar,tumecheza mechi zaidi ya nane(8) kati ya hizi ni mechi 2 tumefungwa na moja kutoka droo,na nyinginezo tano(5) kushinda

Pia tunakaribisha udhamini kwa watu mbalimbali na makampuni pamoja na taasisi mbalimbali,kwa mawasiliano zaidi unaweza tupata kwa namba hizi hapa,0654904455 au 0757285404,tunawakaribisha sana.

No comments:

Post a Comment