Sunday 15 June 2014

NYALANDU APOKEA HELKOPTA YA KISASA KUTOKA MAREKANI ILI KUKABILIANA NA UJANGILI KATIKA HIFADHI.

Waziri wa Mali asili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wapili kushoto) akipokea funguo ya helkopta kutoka kwa ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Helicopter Charter (EA) Ltd, Peter Achammer iliyotolewa msaada na Taasisi ya Howard Buffet kwaajili ya kusaidia mambambano dhidi ya ujangili katika hifadhi za taifa nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na Balozi9 wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childress (wapili kulia) na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa.
Wadau mbalimbali wakipiga picha ya pamoja baada ya makabidhiano.
Waziri akipiga picha na wageni pamoja na Askari wanyama Pori

No comments:

Post a Comment