Sunday 9 March 2014

HAFLA FUPI YA KUWAAGA MR & MRS ALFRED MATOVERO YAFANA

                            Mr & Mrs Alfred Matovero wakiingia katika ukumbi wa Lina's
 Ilikuwa ni hafla ya kuwaaga Mr & Mrs Matovero ambao wameamia mkoa wa Geita Kikazi
 Mkutubi wa kwanza kulia akiwa na tabasamu lililojificha
 Bety Nangai akimuonyesha kitu Lily Tigo
 Mama Nancy A.K.A Mama Matovero akisalimiana na Deo Rugaibura,hakika ilikuwa furaha
 Wakiwa katika eneo Rasmi lilioandaliwa kwa ajili yao
 Ni wadada warembo ambao walifanikisha hafla kupendeza, na kusababisha hata wale wenye haraka waendelee kuwepo
 Mtu mzima Super Mkude na Leoleo wakisakata rumba
 Mama Nancy akifungua shampein
 Watu walipendeza na kila mtu alionyesha upendo
 Wote macho kwangu, ni super mkude akisakata rumba
 Mkutubi
 Dada huyu mwanzo mwisho alikuwa akitabasamu
 Hope Makoko katika moja ya pozz zake nyingi alizozionyesha
 Mwanamke kuvaa, na hasa ukiwa na hivi kama huyu aonekanavyo
 Wamama wa pamoja,utazani mabinti wa miaka 30,siri ya mafanikio ni kujijari
 Wafanyakazi wenzake na Mr Matovero aliokuwa akifanyanao kabla hajahama Bukoba nao walijumuika kumuaga
 Kaka mkubwa, Ernest Nyambo,akiwashukuru wageni waalikwa kwa muda mfupi wameitikia wito wa kuwaaga Mr & Mrs Matovero.
 ikafika wakati wa kuwapa mkono wa kwaheri, watu walipendeza si mchezo
 Kaka mkubwa akisakata mayenu na dada Asimwe
 Watu walikaa hivi
 Chui na London(Dada Salome)katibu wa pamoja group, anafanya kazi kubwa katika umoja huu
 MENU...... kitu cha Hawa Hassan
 Hapa ni kuku mmoja anakatwa vipannde vitatu
 Maua Daftari, mmmmm
 mtu mzima Mc Jerry
Mama Mainda akisakata rumba

No comments:

Post a Comment