Wednesday 1 January 2014

WAZIRI MGIMWA AFARIKI DUNIA NCHINI AFRIKA YA KUSINI


Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde zinasema kuwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dkt. William Mgimwa amefariki dunia mchana wa leo huko nchini Afrika ya Kusini alikokuwa amelazwa katika Hospitali ya Mediclinic Kloff. 

Habari zaidi kuhusu msiba huu zitawajia kdri zitakavyokuwa zikipatikana. Mungu ilaze roho ya marehemu, Dkt. Mgimwa mahala pema peponi, Amina.

No comments:

Post a Comment