Tuesday 7 January 2014

MABIBO BEER WINES AND SPIRITS LTD WAZINDUA WINDHOEK NA CLIMAX WALKGARD TRANSIT BUKOBA

 Ni mwonekano na mandhali ya usiku wa Windhoek na Climax katika hotel ya Walkgard Transit Bukoba
 Wadau mbalimbali wakipata chakula cha usiku kilichoandaliwa na kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd yenye makao makuu jijini Dar-es-salaam ,chini ya mkurugenzi mkuu James Rugemalira
 Ni mwonekano wa kinywaji cha Climax,Ni kinywaji laini hakina kilevi unapokitumia kinakufanya kuwa mchangamfu na mwenye nguvu mwilini.
 Ni wageni mbalimbali wakiwasilikwenye Hafla ya usiku wa Windhoek na Climax,  Mlangoni unapewa Climax moja wakati ukisubiri utaratibu mzima.
 Bw Bushira akiangalia kwa makini kinywaji cha Climax baada ya kusikia utamu wake hakina alcohol.
 Mh  Janat Musa Kayanda (Katibu wa ccm Manispaa ya Bukoba) akifurahi
                                                Mwakilishi kutoka Coffee Hotel Bukoba
 Mgole shop akiburudika na Windhoek taratibu
 Jamco akiwa na Jerome Rugemarila(Mkurugenzi Mtendaji wa Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd
  Mwana libeneke Bukobawadau Mc Baraka na Bw Jorome Rugemarila
 Mwenyekiti wa Mahotel ya Walkgard na Transit Bw Robert Matungwa (katikati) akifurahia Windhoek
 Mkurugenzi mtendaji wa Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd Jorome Rugemarila akiwakaribisha wageni kwenye uzinduzi na usiku wa Windhoek na Climax.
Bw     Basibila  sambamba na cha Windhoek
 SuperMkude akiwa na Bw George
 Haya ndio mambo ya usiku wa Windhoek na Climax
 Bi Modesta Kainami aka Kibengwe,Lilian Peter,sambamba na Nyamwiza (Mama Hasani)
 Basibila alikikubari kinywaji cha Windhoek akiwa na Jorome(kushoto)
 Lilian Peter amewakubali Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd

 Bw Audax (kulia) na Bw Brandes Meneja wa Bukoba Coop Hotel
 Bw Mandela
 Bw WillyKiroyera akiwa na Mh Kiraja
 MwlMarius(Rugambya sekondar, kulia) na Bw Shamsu
                                           Bw Edigar Rutarakana Dada Gode Bayona
 Bw Kamala sambamba na mdau wa Windhoek  kutoka Ujerumani
Mr & Mrs Deo Rugaibura
 Bw Twaha Msoke , kulia ( Meneja Lake Hotel) na Bw Alistides Musheshe ( Meneja wa Bukoba Hotel E.L.C.T)
  Bw  Mandela akifurahia usiku wa Windhoek
Huo ndio ulikuwa usiku na uzinduzi wa Windheok na Climax Walkgard Transit Bukoba

No comments:

Post a Comment