Thursday 9 January 2014

DADA WA KAZI ANAVAA HIVI , MAMA MWENYE NYUMBA UPO UNAANGALIA TU, UNATEGEMEA NINI?


Wapo watu ambao bado hawajajua
madhara ya mavazi, mavazi yanaweza
kuharibu nyumba, dada wa kazi
akijiachia namna hii na mwenye
nyumba unaangalia tu madhara ni
makubwa labda kama mnaishi wawili
tu hapo ndani ila kama unaishi na
mumeo kazi unayooo..!!

No comments:

Post a Comment