Friday 20 December 2013

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII BALOZI KHAMIS KAGASHEKI AJIUZULU

Waziri wa Maliasili na Utalii  Balozi Khamis Kagasheki amejiuzuru  bungeni, Baada ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kutoa taarifa ya ukiukwaji mkubwa uliofanyika katika zoezi zima la Operesheni Tokomeza.

No comments:

Post a Comment