Monday 16 December 2013

Pichaz 30 za After Skul Bash Wanafunzi Full kujiachia Ni Shidaaa!!


Mambo yalikuwa si mambo ndani ya After School Bash baada ya madadaz na makakaz walipoamua kupendeza na kujitokeza pande za MbalaMwezi Desemba 14 Jumamosi iliyopita,huku burudani zikitolewa na wasanii mbalimbali.
Angalia picha hizi hapa uone kichojiri Desemba 14 Jumamosi iliyopita Mbala  Mwezi Beach



No comments:

Post a Comment