Wednesday 4 December 2013

BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI NIGERIA DANIEL OLE NJOOLAY AMUAGA MAKAMU WA RAIS DK. BILAL


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Balozi mpya wa Tanzania  nchini Nigeri, Daniel Ole Njolay, wakati balozi huyo alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kumuaga kabla ya kuondoka nchini kwenda kuanza kazi.
Wakiwa na mazungumzo

No comments:

Post a Comment