Wednesday 30 October 2013

MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KUJADILI MTANDAO WA MAJI KWA NCHI WANACHAMA WA SADC LILILOANDALIWA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua rasmi kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa Nchi Wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, leoJijini Dar es Salaam.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua rasmi kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa Nchi Wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, leoJijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa 'local Organizing Commitee', Prof. Mtalo Felix, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo.
  Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi.
   Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi.
   Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo baada ya kufungua rasmi
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Bashir Mrindoko, wakati akiondoka baada ya picha ya pamoja na kufungua Kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa Nchi Wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, leoJijini dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano huo, Prof. Mtalo Felix, wakati akiondoka baada ya picha ya pamoja na kufungua Kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa Nchi Wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, leoJijini Dar es Salaam.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SERIKALI ZA MITAA KUJADILI MABADILIKO YA TABIANCHI


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua rasmi kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam. Picha Zote na OMR
 Sehemu ya washiriki wa Kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi huo, kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, leo.
  Sehemu ya washiriki wa Kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi huo, kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, leo.
 Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, Richard Muyungi, akizungumza kutoa mada yake wakati wa kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, lililofunguliwa na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, baada ya kufungua rasmi Kongamano hilo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, baada ya kufungua rasmi Kongamano hilo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitembelea katika moja ya Banda la maonyesho baada ya kufungua rasmi kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment