Thursday 20 June 2013

BONANZA KUBWA KUFANYIKA JUMAPILI 23-06-2013 KATKA UWANJA WA KAITABA BUKOBA MANISPAA


 Bonanza kubwa litafanyika siku ya jumapili katika uwanja wa kaitaba,kwa mujibu wa mwenyekiti wa bukoba veteran ndugu erenest nyambo bonanza hilo litaanza  saa nne kamili asubuhi kwa mchezo wa mpira wa miguu  kati ya timu ya kahawa V/s Banana, na timu itakayoshindwa italazimika kupata adhabu ya kutoa huduma ya supu na chakula cha mchana kwa timu itakayoshinda. mara baada ya mpambano huu timu zote zitaelekea kwenye ufukwe wa kiroyera ambako zitakuwepo burudani mbalimbali ukiwemo mpambano wa kucheza draft kati ya kahabuka na kingereza, katika kusherehesha bonanza hilo hapo ufukweni utakuwepo muziki mkubwa huku moses nyama (farry ipupa) ambae takribani wiki moja sasa karejea kutoka nchini dernmark atakuwa akifanya vitu vyake.Bonanza hili limedhaminiwa na TBL na ni muendelezo wa kila mwezi litakuwa likifanyika na michezo mbalimbali itachezwa

 waliochuchumaa wa tatu  ni moses nyama (farry ipupa) mwana veterani bukoba ,msanii wa kakau band ambae karejea hivi karibuni kutoka dernimark atatoa burudani

 Ni timu ya netball ya bukoba ,kipindi kijacho utakuwepo mchuano wa netball kama walivyosema TBL kuwa bonanza litakuwa likifanyika kila mwe

                                michezo ni afya,michezo ni upendo, michezo ni furaha
 Aliekaa kwenye bench wa kwanza kushoto ni ndugu kahabuka ambae atapambana  na kingereza katika mchezo wa draft katika ufukwe wa kiroyera
                                                                     wanaveterani bukoba
                                    nyuma ya amin  ni thomas,na nyuma ya thomas ni kirimanjaro

                                                   si mchezo patakuwa hapatoshi kaitaba
                                                               dada zetu wapenda michezo
                                                                                asante mwalimu...

No comments:

Post a Comment