Thursday 20 June 2013

MAONYESHO YA 13 YA SABASABA KUZINDULIWA RASMI 26-6-2013 KATIKA VIWANJA VYA JENGO LA CCM BUKOBA MANISPA



Maandalizi ya maonyesho ya 13 ya saba saba mwaka huu yanaendelea vizuri katika jengo la ccm,maonyesho hayo yanayoratibiwa na kampuni ya KAIDEP yatazinduliwa 26-6-2013,kwa mujibu mratibu philimon  kamazima zaidi ya makampuni  mia mbili wanategemea yashiriki yakiwemo na makampuni kutoka nchini uganda,kenya,burundi na rwanda. lakini pia wajasiria mali mbalimbali  wanaosindika bidhaa za hapa nchini watashiriki.

 watu wameanza kupimiwa maeneo ili wajenge vibanda vya muda kwa ajili ya biashara zao
 jengo hili ni la chama cha mapinduzi ambalo limekuwa likitumika katika shughuli mbalimbali hapa buko

                              ni nje ya jengo la ccm,mama huyu mtaalamu wa kuchoma gonja


karibu kwenye maonyesho ya sabasaba ewe mjasiriamali,ni wakati muafaka kuonyesha unachokifanya,au kuzalisha,lakini pia na wakati wa kujifunza mengi

No comments:

Post a Comment