Saturday 18 May 2013

MOTO WATEKETEZA DUKA USWAHILINI BUKOBA USIKU WA JANA NA KUSABABISHA HASARA KUBWA

 Ni mabaki ya vitu vilivyoteketea kwa moto baada ya duka la mfanyabiashara aliejulikana kwa jina la baba sima kuungua maeneo ya uswahilini karibu na maua gest

 duka lililoungua moto lipo uswahilini barabara ya maua gest,inasemekana machinga wengi wa mtaa huo walikuwa wakiweka mizigo yao katika duka hilo wakifunga shughuli zao muda wa jioni
 chanzo cha moto hakijafahamika, ila kwa habari zisizo rasmi inasemekana na tatizo la umeme



 baadhi ya vitu vilivyookolewa kutaka katika duka  la baba sima

 ilimradi kilikusanywa kila kilichoonekana hakijaungua

 baba sima mwenye duka (kushoto) akifarijiwa
 wayuka baba sima ebintu mbiigwa orwo omoyo gwaunga( ONGERA BABA SIMA VITU UTATAFUTA BORA UZIMA ni maneno ya mama akimfariji


tunakupa pole sana baba sima

No comments:

Post a Comment