Wednesday 8 November 2017

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI ZZINDUA BARABARA YA KYAKA BUGENE.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt John Pombe Magufuli amezindua barabara ya Kyaka Bugene yenye urefu wa km 59.1 yenye kiwango cha lami.Rais Magufuli amesema wakati akiwa waziri wa wizara ya ujenzi  katika serikali ya awamu ya nne ulianza ujenzi wa barabara hii na leo akiwa rais anaizindua,amewataka wananchi kuilinda na kutumia  fursa ya barabara hii katika uzalishaji mbalimbali na kuwaletea maendeleo.Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika mji wa Kayanga Karagwe na kuudhuliwa na mawaziri, makatibu wakuu, wabunge, viongozi wa chama tawala  na vyama vya kisiasa,na wananchi.
Mzee Mavunde Mc wa shughuli nzima.

No comments:

Post a Comment