Sunday 13 March 2016

WAZIRI MKUU ATEMBELEA MRADI WA MAJI BUWASA,WANANCHI WA KIFUNGWA KAHORORO KULIPWA FIDIA.

 Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametembelea mradi mkubwa wa kusambaza maji katika manispaa ya Bukoba unaogharimu zaidi ya bilioni 30,mradi huu unaotarajiwa kukamilika mapema mwezi wa nne mwaka huu,pia waziri mkuu ameahidi kushughulikia kwa haraka madai ya wananchi wa Kifung wa kata ya Kahororo zaidi ya bilioni moja,wanayoidai Buwasa kwa ajia fidia ya maeneo yao.
Kushoto mkurugenzi wa Buwasa mhandisi Chagaka akiteta  jambo na waziri mkuu.

No comments:

Post a Comment