Sunday 13 March 2016

KASSIM MAJALIWA AWASILI BUKOBA,AWATAKA MAAFISA WA UHAMIAJI KUACHA MCHEZO MCHAFU.

 Mh Mkuu mkuu wa mkoa wa Kagera(Ambae kaamishiwa mkoa wa Mwanza) akimkaribisha waziri mkuu 
 Kassimu Majaliwa katika uwanja wa ndege wa Bukoba.Mbali na mambo mengi aliyoongelea amewataka maafisa uhamiaji kuacha mchezo mchafu wa kutoa vibari vya waamiaji haramu, na hasa kwenye ranch za Missenye na zingine  na kusababisha hatari ya usalama wa mipaka ya nchi yetu.

 Viongozi mbalimbali wakiwa uwanja wa ndege.
 Viongozi wa dini wakiwa uwanjani.
 Naibu waziri wa mambo ya ndani Mh Masaun  akisalimiana na maafisa wa magereza.
 Mh Mbunge wa jimbo la Nkenge balozi Dr Diodorus Kamala  akisalimiana na waziri mkuu.
 Waziri mkuu Kassim Majaliwa akizungumza jambo na meneja wa mfuko wa pensheni  wa PPF kanda ya ziwa  Meshach Bandawe alipowasili uwanja wa ndege  mjini Bukoba kwa ziara ya kikazi.
 Kikundi cha kakau bendi kikitumbuiza.
 Wananchi wakiwa uwanja wa ndege kwa nje kumpokea waziri mkuu.
 Mwenye miwani Bw Said Mtanda, mshauri wa waziri mkuu.
 Kushoto ni mwandisi wa maji Kijigo,Dk Mugula na  DAS BiharamuBi Agnes.
viongozi mbalimbali.
 Mwenye shati nyekundu mstahiki meya wa manispaa ya Bukoba Chief Kalumuna akirifa ya mkoa.. taamsikiliza mkuu wa mkoa akitoa
 Viongozi wa kidini wakiwa Ikulu ndogo Bukoba.
mkuu wa mkoa wa Kagera John Mongella (Ameamishiwa mkoa wa Mwanza)akisoma taaarifa ya mkoa.

No comments:

Post a Comment