Tuesday 2 February 2016

SEND OFF YA PRAKSEDA .C. NDAMUGOBA YAFANA UKUMBI WA BUKOBA COOP.

Prakseda akiwa na kaka yake wakiingia katika ukumbi wa Bukoba coop(Yasira hotel zamani)wakiingia kwa staili ya aina yake.
Mama Semeo mtaalam maalufu wa kutengeneza keki akiandaa mambo yake.
Ndugu wa Bi harusi mtarajiwa.
Kundi la Kibeta one wakiingia ukumbini.
Wadada wakicheza kwa madahaa.
Akiwa na Bw harusi mtarajiwa.
Akikata keki.
Akimrisha keki kaka yake.



No comments:

Post a Comment