Thursday 14 January 2016

HONGERA MUGISHA NA LIGHTNESS KWA KUFUNGA PINGU ZA MAISHA.

 Bw harusi (kulia)akiwa na mpambe wake wakili msomi Bw Stephen Byabato wakielekea Kanisani.
 Maharusi wakiwa na wazazi bw harusi.
 Mkataba....
 akisaini gamba.
 Shaidi nae akisaini.
 Msafara....
 Walgard Transit katika ubora wake.
 Maharus kwa mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na shangwe kwenye ukumbi wa Linas,kiwanja cha Walkgard
Tutaendelea na matukio mengine,

No comments:

Post a Comment