Wednesday 18 November 2015

WAZIRI MKUU MTEULE KASSIMU MAJALIWA,ULETAJI WA BAHASHA BUNGENI WAWA GUMZO.

 Zile presha zilizokuwa miongoni mwa watanzania mbayo ndani wengi nani atakuwa waziri mkuu, hatimae rais Jo hn Pombe Magufuli ameteua jina la Mh Kassimu Majaliwa kuwa waziri mkuu wa serikali a awamu ya tano,mmoja ya kitu ambacho kimefurahisha ni namna ya usiri mkubwa uliokuwepo na namna ya jina lilivyoletwa bungeni, Mlinzi wa rais akiwa na maafisa kadhaa kutoka Ikulu walileta bahasha kubwa ambayo ndani yake zilikuwemo bahasha zingine mbili ndogo kufikia barua aliyoandikiwa spika iliyokuwa imeandikwa kwa mkono wake rais.
Katika picha wa kwanza kulia Waziri mkuu mteule Kassimu Majaliwa akizungumza na  Mh Richard Kasesela  mkutano mkuu wa Taifa ccm kupitisha jina la mgombea urais Dodoma.

No comments:

Post a Comment