Friday 26 June 2015

SAFARI YA MWISHO YA MA KALOLINA LAULIAN MWILILIZA,AACHA WAJUKUU 51 NA VITUKUU 44

 Ni ibada ya misa ya mazishi ya marehemu Ma Kalolina Laulian Mwililiza aliezikwa katika kijiji cha Ruhunga Bukoba vijijini,Marehemu aliezaliwa mnamo 5-8-1923 na kufariki 21-6-2015,amefariki akiwa na umri wa miaka 92
 Picha ya marehemu Ma Kalolina Laulian katika uhai wake

 Mzee John akitoa neno la shukrani kwa niaba ya familia.
 Bw Bushira Mc wa shughuli ya maz
Mtoto wa marehemu Bw  Angero Rubalemwa Lauliani.

No comments:

Post a Comment