Friday 23 January 2015

BEI YA NDIZI SOKO KUU BUKOBA YASHUKA,ANGALIA MATUKIO TOFAUTI KATIKA PICHA.

 Hali ya ndizi katika soko kuu la Bukoba,Siku za hivi karibuni palikuwepo na uhaba wa ndizi na mfumuko wa bei kubwa ya ndizi kati ya elfu kumi na thelasini elfu kwa ndizi mmoja,hali ambayo leo tumekuta ni  tofauti,Ndizi zimefurika na bei ni kati ya  elfu tano na kumi na tano elfu.Hali hii imekuwa faraja kwa wakazi wa Manispaa na maeneo mengine kwa kuweza kujipatia ndizi kwa bei nafuu.



 Bi Asia, mfanyabiashara wa ndizi ,soko kuu Bukoba.
 Hali iko hivi.
 Vijana kazini ,soko kuu Bukoba.
 Mmmoja ya wafanyabiashara ya ndizi soko kuu Bukoba,alieleza namna ndizi zilivyoshuka bei kwa kiwango kikubwa,na alisema kwa sasa  ndizi nyingi zinatoka nchini Uganda,kitu ambacho kimechangia ushukaji wa bei ya ndizi.
 Ni mmoja wa wadada  wa Jamcobarber shop,karibu.Ni moja ya saloon ya kisasa ,yenye viwango na ubora.
 Bw AMIRALI'S wauzaji wa vifaa vya ujenzi kwa gharama nafuu, wapo Miembeni,karibuni.
 Bw Zuri akiwa dukani kwake, fika uone ,yupo Miembeni.
 Yunis Ruangisa akiwa na Teddy Mboto,wakiwa kazini,wadau wakubwa wa jamcoblog.
 Mama Mzee akiwa kazini dukani kwake SOKO KUU ndani Bukoba.
 Wadau wakubwa wa jamcoblog.
 Mdau Jamal Issa akiwa kidigital zaidi.
 Karibu upate pikipiki ya viwango kwa RMK, Mtaa wa Migeyo.
 Bi Sauda Kichwabuta akiwa kazini,wauzaji wa pikipiki , wapo mtaa wa Migeyo au  uliza kwa kijana makini RMK au Ramadhani Kambuga ambae yuko mapumziko nchini Sweden.
 Migeyo hiyooo.
 Hajat,mmoja ya wafanyakazi makini sana wa Mdau Rukia Mawenya kwenye moja ya duka lake la Mpesa  mtaa wa Migeyo.
 Camera yetu inakutana na chui na London mida ya jioni baada ya kazi dukani kwa Alipenda wakiongea.
 Azam ni shidaaa, Dukani kwa Mitesh wakishusha mzigo.
 Kulia ni mdau  mkubwa wa jamcoblog, Bw Yunus Kabyemela , na mdogo wake Mzakiru.
 Maeneo ya kwa Mushamu.Bw  musa  , mwenye miwani  mchezaji mstaafu wa timu ya Bohari  Kagera miaka ya themanini,kwa sasa veterani Dodoma akiwa kwa Bw Mushamu mmoja wa wachezaji  wa wazamaji wa RTC KAGERA.
 Pande za Miembeni Bukoba.
 Mtaa wa Diwani kata ya Miembeni utajipatia vitanda vizuri kwa gharama ya chini, karibuni  sana waunge mkono vijana wajasiriamali wanaojituma na uwezo mkubwa wa kufanya kazi.
 Pande za Saloon ya kisasa Jamcoberber shop,fika upate huduma zao.
 Liberata akiwa na mme wake Bw Manyere wakipata chakula.wakiwa nyumbani kwa familia ya Jamal Kalumuna,walifika kuwapo pole ya matatizo ya kuvamiwa na watu wanaosadikiwa ni majambazi hivi karibuni.
 Bw Romward Bashereka akiwa na mama Rama.
 Ni wageni walioitembelea familia ya Jamal Kalumuna (jamco) kuwapa pole ya matatizo yaliyowakuta hivi karibuni ya kuvamiwa na watu wanaosadikiwa ni majambazi.
 Mr Manyere akiongea kitu fulani kwa msisitizo.
 Ni katika kuongea mawili matatu.
 Bi Liberata Bashereka katika pozz.
Angali jamcobukoba.blogspot.com kwa habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment