Wednesday 3 December 2014

NALPHIN HOTEL & NIGHT CLUB KUFUNGULIWA MULEBA TAREHE 5-12-2014,WASANII MAARUFU KUWEPO, MRISHO MPOTO, ELIZABERT LULU,JACKLINE WOLPER,DUDE NA BENDI NZIMA YA MUUMIN JUMA.

 Ni eneo la nje la hotel ya kisasa itakayofunguliwa 5-12-2014,sherehe ya ufunguzi itaanza saa nne asubuhi kwa ibada maalumu ya ufunguzi mpaka saa sita mchana, Baada ya hapo yatakuwepo mapumziko na ratiba itaanza tena saa 12.00 jioni mpaka majogoo.
 Maeneo ya NALPHIN HOTEL INAYOFUNGULIWA 5-12-2014.
Maandalizi yakiendelea kwa ajili ya ufunguzi 5-12-2014.
 Maeneo ya nje ya hotel.
 Chumba cha single.
 Vyumba vya double.
 Maeneo ya vyumba.
 Eneo la tiketi Night club.
 Njia ya kuingia Night club.
 Night club mandalizi ya ufunguzi yakiendelea.
 Kitu cha uhakika.
 Viti vitakavyotumika eneo la Night club.
 Eneo la Night club.
 Eneo la ukumbi wa kisasa wakiwa katika maandalizi ya ufunguzi.
 Majiko ya kisasa ya kuchoma nyama yakiwasili kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa hotel.
 Kushoto ni meneja wa Hotel akiwa na Mkurugenzi na mmiliki wa hotel.
 Katikati ni Mkurugenzi na mmilikiwa  NALPHIN HOTEL & NIGHT CLUB akiwa katika mahojiano na mmiliki wa mtandao wa Jamcobukoba.blogspot.com
 Sehemu ya Bar ndani ya Night club wakimalizia marekebisho baadhi.
 Mtambo mzito.
 Dj Max akiwa anafungwa vifaa vipya na vya kisasa vitakavyotumika katika Night club.
Hi si ya kukosa tarehe 5-12-2014 karibuni sana.

1 comment: