Sunday 7 December 2014

IBADA YA MISA YA UFUNGUZI WA NALPHIN HOTEL MULEBA.BWANA NAFTARI FELIX ATOKWA MACHOZI YA FURAHA.e

 Ni kwa Neema za  mungu Familia ya Bwa na Bibi Naftari Felix wameweza kutimiza ndoto yao .Ilikuwa ni siku ya kumshukuru mungu kwa yote aliyowajaria katika uhai wa maisha yao na kuwawezesha kuifikia siku ya ufunguzi.

 Wanakamati wakiwa katika mkakati wa maandalizi.
 Moja ya kwaya kutoka kanisa la kilutheri Kagoma Muleba.
 Eneo la Ibada.
 Bw na Bibi Naftari Felix mmiliki wa Hotel wakiwa katika ibada ya ufunguzi wa hotel yao.
 Kwaya ikiimba wakati wa ibada.

 Familia ya Bw Naftari wakati wa sadaka.




Bw Naftari akitoa shukrani ,machozi ya furaha yalimtoka.








Wadada wanaotoa hudu


Endelea kufutilia ili uweze kujua kilichojiri kwenye sherehe ya ufunguzi.

No comments:

Post a Comment