Monday 1 December 2014

GEDIOSE MUKULASI NA DORICE MBOYERWA WAFUNGWA KIFUNGO CHA MAISHA BUKOBA.


 Ni siku ya historia katika maisha yao ya hapa duniani Bw  Gediose Mukulasi na Bi Dorice Mboyerwa,kwani wameingia katika mkataba ambao hakuna miongoni mwao anaweza kuuvunja mpaka hapo mmoja wao kwa mapenzi ya mungu anaweza kukutwa na mauti.Ilikuwa ni furaha, nderemo na vifijo katika kanisa la Kikatoliki Cathedral Bukoba mjini  mbele ya waumini na hakimu wa kiroho walipotamka na kukubaliana kuishi pamoja milele.Baada ya hapo sherehe kubwa ya kuwapongeza ilifanyika katika ukumbi wa Lake hotel iliyohudhuriwa na wageni zaidi ya mia sita.Bw harusi na bi harusi ambao wanaishi nchini Marekani.
 Mbele ya hakimu wa kiroho ,wakiweka agano la kuishi milele.
 Baada ya ndoa.
 Pendeza sanaaaaa.
 Picha ya pamoja.
 Beach.
 Wazazi wakiingia ukumbini.
 Bw NA Bi Mboyerwa wazazi wa bi harusi.
 Mzee Paul Bashereka.
 Ukumbi wa Lake hotel .
 Kifamilia zaidi.
 Mzee Mugisha akiwa na mwanae.
 Wapambe nao wakiingia ukumbini.
 Twende mke wangu.
 Mwenyekiti akifungua sherehe.
 Maharusi wakiingia ukumbini.
 BONGE LA KEKI iliyotengenezwa na mama Simeo.
 Tunakata hii keki, wote wenye husda, fitina na roho mbaya  washindwe na kulegea kwa jina la yesu.
  KARIBU KEKI MKE WANGU.
 Keki kwa wazazi wa Bw HARUSI.
 Keki kwa wazazi wa Bi harusi.
 Keki kwa wanakamati.
 Keki kwa wanafamilia.
 Kushoto, Bi Paskazia Barongo akiwa na Murungi Kichwabuta.
 Mama Matungwa mpambaji akifurahi na camera yetu.
 Dada wa Bw Harusi.
 Bw Wilson akiwa na mkewe.
 Chui na Landon akiwa na Devota ndani ya nyumba.
 Mandhari ya ukumbi,Mama Adventina matungwa ndio aliepamba.
 Hapana chezea wa mama wanaweza.
 Mr & Mrs Dr Mboyerwa wakitoa zawadi kwa maharusi.
 Bibi wa  bi Harusi akitoa zawadi kwa Bw harusi.
 Wanakamati.
 Kamati ya maandalizi.
 Nshomile family msanii akifanya yake.
 Chakula time.
 Naomba nikupe kidogooooo.
 Naomba nikurishe mpenzi.
 Mzee Paul Bashereka akipata msosi.
 Mambo ya ngoma.
 Bw Harusi akitoa shukrani kwa wote walioshiriki kuandaa harusi yao.
 Mpenzi tumetimiza ahadi yetu.
 Bw Kahabuka akionyesha uwezo wake katika kusakata rumba.
 WAGENI WAALIKWA WAKISEREBUKA,Jamcobukoba.blogspot.com inawatakia maisha mema ya ndoa.

No comments:

Post a Comment