Tuesday 8 July 2014

KANALI FABIANI MASSAWE AFUNGA MAONYESHO YA SABASABA BUKOBA

  Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanal Fabian Massawe ameyafunga rasmi maonyesho ya sabasaba 2014 yaliyoyanyika katika viwanja vya jengo la ccm Kagera.Maonyesho hayo yalioandaliwa na kampuni ya Kaidep wameshirikisha makampuni,Taasisi nawafanyabiashara kutoka sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi Uganda,Rwanda,Burundi,Zaire naSudan.














 Mkuu wa Mkoa Fabin Massawe akitembelea mabanda










No comments:

Post a Comment