Tuesday 17 September 2013

MKATABA WA KUFUA UMEME KATIKA MAPOROMOKO YA MAJI YA RUSUMO MKOA WA KAGERA WASAINIWA LEO

 Mawaziri wa nchi tatu wa kwanza kulia  waziri wa miundo mbinu wa rwanda Silas Rwakabamba, waziri wa Nishati na madini wa Tanzania Sospeter muongwa, na waziri wa  Nishati wa Burundi Manirakiza C'ome katika picha ya pamoja katika viwanja vya bukoba hotel E.L.C.T bukoba
                                       mkutano wa kuwekeana mkataba umefanyika bukoba hotel
                          wajumbe kutoka katika nchi ya Tanzania, Burundi na Rwanda
                                                             mawaziri wa nchi tatu
                                      bw seifu mwakilishi kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa kagera
  Eng Innocent Luoga Naibu kamishina msaidizi wa nishati  Tanzania akieleza mchakato wa mradi
 Bw  Paul Baringanire mwakilishi wa benki ya dunia ambao  ndio wafadhili wakubwa wa mradi wametoa dora za kimarekani milioni 340 kwa ajili ya kufua umeme  wa rusumo
 Bi Stella Mandago mwakilishi wa benki ya maendeleo ya Afrika ambao watagharamia usambazwaji wa umeme wa rusumo katika nchi tatu, Tanzania,Burundi na Rwanda
 waziri wa Burundi Manrakiza c'ome ambae alikuwa akiongea kwa kifaransa na kutafsiriwa na mkalimani akieleza namna walivojipanga katika mradi
 Waziri wa  miundo mbinu wa rwanda Silas rwakabamba akieleza mikakati ya nchi yake katika utekelezaji wa mradi.
 waziri wa nishati na madini wa Tanzania pro peter muongwa akieleza jinsi Tanzania ilivyojipanga katika mapinduzi ya nishati, amesisitiza nchi zote kuwa makini katika utekelezaji wa mradi huu ambao zaidi  ya miaka arobaini iliyopita umeshindwa kutekelezwa.amesisitiza hakuna maswala ya kujuana na siasa katika mradi huu, kila nchi ihakikishe inaweka watendaji makini ambao watachapa kazi , na maswala ya rushwa ni mwiko katika mradi
                                                  picha ya pamoja mawaziri na wafadhili wa mradi
                                              picha ya pamoja mawaziri , wafadhili na management ya nchi tatu

                                                        waziri wa Tanzania akisaini mkataba
                                       mawaziri  wa nchi tatu wakiwa na mikataba yao
                                                     waziri wa rwanda akisaini mkataba
                                                    mawaziri wa nchi tatu wakiwa na wajumbe wa bodi

No comments:

Post a Comment