Friday 26 April 2013

KALA JEREMAYA, DYNA, KITARE MASELE, H.BABA WAPANGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA KATIKA UKUMBI WA VILLA PARK RESORT.

Msanii wa kizazi kipya almaarufu kama Dyna akiimba leo Ijumaa hii usiku kwenye Uzinduzi wa Album ya Kala Jeremaya kwenye ukumbi wa raha Jijini Mwanza Villa Park Resort.
Msanii wa kizazi kipya Dyna akiimba nyimbo yake ya Nivute kwako kwenye ukumbi wa Villa Park.
Jukwaa lilisheheni, nyomi ..

Djz wakifanya mambo yao jukwaani

Msanii wa kizazi kipya Dyna akiimba huku mashabiki wakipagawa na nyimbo zake

Msanii wa kizazi kipya Dyna akiimba kwa hisia wimbo wake wa "Nivute kwako" usiku huu

Shabiki ilibidi apande jukwaani kumsindikiza Dyna
Jukwaa likitikiswa na Dyna
Babuuuu...Kitare Masele akaanza kupagawisha
Ilikuwa patashika Villa Park usiku huu Masele amewashika vilivyo mashabiki wake.
Nyimbo kama mbuzi kagoma kwenda na nyinginezo ndizo zilizokuwa zikimnesa Masele
Umati wa watu wangi na mashabiki wa nyimbo za Bongo flava waliitikia kwa wingi usiku huu Villa Park

Mtoto wa nyumbani ... H.Baba naye akapanda jukwaani kupagawisha vilivyo katika ukumbi wa Villa Park


Msanii H.Baba akiwa ameshilia album mpya ya Kala Jeremaya usiku huu ambayo imezindulia leo hii rasmi ikiwa na nyimbo 23 ya PASAKA.

Kala Jeremaya kama kawaida yake kutikisa jukwaa ...full mizuka ikiwapanda mashabiki wake leo hii wakati anazindua Album yake ya PASAKA yenye nyimbo kibao 23 ambayo pia amedai kuwa kuifanisha album hiyo ilimchukua muda wake mwingi wa kukaa studio na pia ikiwa ni album moja wapo ya kumjenga kimuziki hapa nchini na nje






Mashabiki wakimsikiliza Kala Jeremaya wakati akitumbuiza leo hii usiku kwenye Ukumbi wa Villa Park Resort uliopo jijini Mwanza.

Mdau Jamco (kushoto) H.Baba na Babu Masele wakiwa ndani ya kiwanja cha raha Cha Villa Park usiku huu baada ya kukutana kwa mara nyingine tena

Wadau wamekutana jukwaani

Dada mizuka ikimpanda

No comments:

Post a Comment