Wednesday 24 April 2013

JACKIE APPIAH AJIACHIA KWA MWIGIZAJI WA KINAIGERIA BOBBY OBODO, KUOANA SASA...

Mcheza filamu na Staa wa Ghana, Jackie Appiah ameangukia kwenye penzi la mwigizaji wa Nigeria, bobby Obodo na sasa wanatarajia kupanga mipango ya kufunga pingu za Maisha. 

Mlimbwende huyo alikuwa kwenye kesi ya madai ya talaka kutoka kwa mumewe mienzi michache iliyopita na sasa anatarajia kula kiapo kwa mcheza filamu huyo wa Nigeria kwa mara nyingine.
jackie alifunga pingu miaka mitano iliyopita na mghana mwenzake aliyejulikana kwa majina mawili Peter agyman na ndoa hiyo kufanikiwa kufungwa na Kujaaliwa kupata mtoto wa kiume na hatimaye kutengana na sasa mwana dada huyo ameangukia kwenye penzi la mtu mwingine wa Nigeria.

Mwigizaji huyo wa Nigeria tayari ameisha jitambulisha rasmi kwa familia ya Mwanadada huyo na kupata baraka zote.



The real gist is that the two are planning a glamorous wedding ceremony.
Though no date has been set, we learnt Jackie Appiah has started putting things in order on her end.
Wishing them a happy married life in advance.


Kwa hisani ya bukobasports.com

No comments:

Post a Comment