Tuesday 26 September 2017

HONGERA RAYMOND NA GEORGIA KWA KUFUNGA NDOA,ILIKUWA NI SHIDAAA NDANI YA KAHAMA.

 Wahenga walinena hayawi hayawi yamekua, ni maneno yaliyotimia kwa Bw Raymond na Bi Georgia. mbele ya waumini, ndugu , jamaa  na marafiki walikula kiapo cha maisha ya uhai wao wote hapa duniani kuishi kwa raha, upendo na shida kwa kipindi cha maisha yao yote ya ndoa,vifijo, nderemo na vigeregere vilisikika kwa vujo katika kanisa Katoliki jimbo la Kahama.Hongereni sana.
JAMCOBUKOBA.BLOGSPOT.COM itaendelea kuwaletea matukio kilichoendelea ukumbini. kwa mahitaji ya video, picha za maana zenye ubora piga simu 0788-707027, 0714-707027, 0622-757157 au 0754-757157.

No comments:

Post a Comment